TANZANIA YAPONGEZWA KIMATAIFA KATIKA MASUALA YA UTALII.
Tanzania yapongezwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Utalii Duniani (UNWTO) kwa namna ambavyo ilifanikisha kufanya Onesho la kwanza la utalii katika nchi za Afrika Mashariki lililofanyika mwezi Oktoba mwaka huu Jijini Arusha lililokuwa na lengo la kutangza utalii katika nchi za Jumuiya za ukanda huo Pongezi hizo zimetolewa na Katibu Mkuu wa Shirika
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed